sw_tn/isa/16/13.md

218 B

Hili ni neno

"Huu ni ujumbe". Hii ina maana ya kile kilichosemwa katika 15:1-16:12

kuhusu Moabu

Neno "Moabu" lina maana ya watu wa Moabu.

utukufu wa Moabu utatoweka

"Nchi ya Moabu haitakuwa na utukufu tena"