sw_tn/isa/14/05.md

818 B

Kauli Kiunganishi

Hii ni sehemu ya wimbo wa dhihaki ambao Waisraeli wataimba kwa mfalme wa Babeli.

Yahwe amevunja gongo la waovu

Gongo la waovu huenda lina maana ya kijiti ambacho watu waovu wangepigia watu wengine. Kuvunja kijiti hicho inawakilisha kuangamiza nguvu yao ya kufanyia watu ukatili. "'Yahwe ameangamiza nguvu ya waovu"

fimbo ya kifalme ya hao watawala

Fimbo ya kifalme inawakilisha nguvu ya mtawala kutawala. Kuvunja fimbo ya kifalme inawakilisha kuangamiza nguvu ya watawala. "Yahwe ameangamiza nguvu ya watawala waovu"

iliyowapiga watu

"ambaye aliwapiga watu". Watu waovu walipiga watu kwa gongo lao.

kwa mapigo yasiyokoma

"bila kukoma" au "tena na tena"

iliyotawala mataifa

"ambaye alishinda mataifa mengine"

kwa shaambulio ambalo halikuzuilika

"kuwashambulia bila kuacha"