sw_tn/isa/13/21.md

873 B

Kauli Kiunganishi

Yahwe anaendelea kuzungumza kuhusu kile kitakachotokea kwa Babeli.

watalala pale

"watalala Babeli"

Nyumba zao

"'nyumba za watu"

bundi

Bundi ni ndege pori ambao huwinda usiku.

mbuni

Mbuni ni ndege pori wakubwa ambao hukimbia haraka na hawawezi kupaa.

Fisi

Fisi ni wanyama pori wakubwa ambao hufanana na mbwa na hula wanyama waliokufa. Sauti zao zaa juu husikika kama mtu achekavyo.

na mbweha katika kasri nzuri

Maneno "watalia" inaeleweka. "Na mbweha watalia ndani ya kasri nzuri"

mbweha

mbwa mwitu

Muda wake umekaribia, na siku zake hazitacheleweshwa

Misemo hii miwili ina maana moja. "Muda wake" na "siku zake" yote ina maana ya kipindi ambacho Mungu alichagua Babel kuangamizwa. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kipindi ambacho yote haya yatatokea kwa watu wa Babeli kimekaribia, na hakuna kitu kitazuia"