sw_tn/isa/12/03.md

740 B

Kwa furaha utateka maji kutoka kwenye visima vya wokovu

Isaya anazungumzia watu kukombolewa kana kwamba walikuwa wakipata wokovu kwa namna ambavyo watu hupata maji kutoka kisimani. "utafurahi pale atakapokukomboa, kama watu wanavyofurahi wanapoteka maji kutoka kisimani"

kuliita jina lake

Hapa "jina lake" lina maana ya Yahwe. Kuliita jina lake lina maana ya aidha kumsifu au kumwomba msaada. "kumsifu kwa sauti" au "kumwita akusaidie"

kutamka matendo yake miongoni mwa watu

Nomino ya "matendo" inaweza kuelezwa na msemo "kile aliuchofanya". "Waambie watu juu ya mambo makubwa aliyofanya"

kutamka ya kuwa jina lake limeinuliwa

Hapa "jina lake" lina maana ya Yahwe. "tangaza ya kuwa ameinuliwa" au "tangaza ya kwamba ni mkuu"