sw_tn/isa/07/05.md

490 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kumwambia Isaya kile anachotakiwa kumwambia Ahazi.

Aramu, Efraimu, na mwana wa Remalia

Maneno "Aram" na "Efraimu" yana maana ya wafalme wa nchi hizi. Pia, "Efraimu" ina maana ya ufalme wa kaskazini wa Israeli. "Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli"

Remalia

Hili ni jina la mwanamume.

wamepanga uovu dhidi yako

Hapa "yako" ni umoja na ina maana ya Ahazi.

mwana wa Tabeeli

Haijulikani mwanamume huyu ni nani.