forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
490 B
Markdown
20 lines
490 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumwambia Isaya kile anachotakiwa kumwambia Ahazi.
|
||
|
|
||
|
# Aramu, Efraimu, na mwana wa Remalia
|
||
|
|
||
|
Maneno "Aram" na "Efraimu" yana maana ya wafalme wa nchi hizi. Pia, "Efraimu" ina maana ya ufalme wa kaskazini wa Israeli. "Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Remalia
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamume.
|
||
|
|
||
|
# wamepanga uovu dhidi yako
|
||
|
|
||
|
Hapa "yako" ni umoja na ina maana ya Ahazi.
|
||
|
|
||
|
# mwana wa Tabeeli
|
||
|
|
||
|
Haijulikani mwanamume huyu ni nani.
|