sw_tn/isa/05/24.md

668 B

ulimi wa moto

"mwale wa moto" au "mwale"

kama vile ulimi wa moto unavyomeza mashina ya mabua, na kama vile nyasi kavu zinavyoshuka chini katika mwale

Misemo hii ina maana moja. Mungu ataadhibu watu wanaoelezwa katika 5:18. "kama vile moto unavyochoma mashina ya mabua na nyasi"

mashina ya mabua

"mashina ya mazao yaliyokauka". Hii ina maana ya sehemu ya mmea ambao umebaki katika shamba kufa baada ya mkulima kukusanya chakula.

mzizi wao utaoza, na maua yao yatapulizwa mbali kama vumbi

Isaya anazungumzia watu hawa kana kwamba walikuwa mmea unaokufa. "watakufa kama mmea ambao mizizi yake imeoza na ambao maua yake yamekauka na kupulizwa katika upepo"