sw_tn/isa/03/08.md

1.1 KiB

Kauli Kiunganishi

Nabii anaanza kutoa neno juu ya hii hali

Yerusalemu imejikwaa, na Yuda imeanguka

Kutomtii Mungu inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ikijikwaa na kuanguka

macho ya utukufu wake

Hapa "macho" ina maana ya Mungu mwenyewe, ambaye ni mtukufu.

Mtazamo katika uso wao unashuhudia dhidi yao

Mionekano wa majiivuno katika nyuso za watu inazungumziwa kana kwamba mionekano ilikuwa watu ambao wanaweza kushuhudia dhidi ya watu wanaojivuna. "Mionekano ya kiburi juu ya nyuso zao zinaonyesha ya kwamba wanapingana na Yahwe"

wanasema juu ya dhambi yao kama Sodoma; hawaifichi

Hapa watu wa Yuda wanasemekana kuwa kama watu wa Sodoma, kwa sababu walijivuna wazi wazi kuhusu dhambi zao. "kama watu wa Sodoma, wanazungumza kuhusu dhambi zao na kuwaruhusu kila mtu ajue juu yao"

Kwa maana wamekamilisha maangamizi kwa ajili yao

Maangamizi bado yanakuja, lakini watu walimaliza kufanya kile kitakachosababisha kufuatia. Sababu za maangamizi zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa ni balaa zenyewe. "Kwa maana wamefanya kila kitu ambacho kitasababisha maangamizi kutokea"