sw_tn/hos/14/07.md

716 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Watu wanaoishi katika kivuli chake watarejea

Watu wa Israeli tena wataishi kwa kulindwa na Mungu.

watafufuliwa kama nafaka na maua kama mizabibu

Mafanikio ya Israeli yanazungumzwa kwa lugha ya kilimo.

Utukufu wake utakuwa kama divai ya Lebanoni

Kama divai ya Lebanoni ilivyokuwa maarufu pia Israeli itakuwa maarufu.

nifanye nini tena na sanamu?

Sentensi hii inaonesha kuwa Mungu atawakataza Israeli kuabudu muingu.

kama mberoshi majani yake ni ya kijani daima

Mberoshi ni mti ambao majani yake ni ya kijani mwaka mzima. Hii inawakilisha baraka za Bwana juu ya Israeli.

kwangu huja matunda yako

"matunda" inawakilisha kitu kizuri kinachotoka kwa Bwana.