sw_tn/hos/14/03.md

323 B

Taarifa ya jumla:

Hosea anazungumza.

kazi ya mikono yetu

"mikono" hii inamaanisha watu wanatengeneza vitu. "kwa sanamu tunazotengeneza"

mtu asiye na baba

Hii inaonesha huruma kubwa ya Mungu kwa watu wake.

hupata huruma

Hapa kitendo cha Mungu kuonesha huruma kinazungumzwa kama ni kitu ambacho mtu amekipata.