forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
441 B
Markdown
20 lines
441 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anazungumza.
|
|
|
|
# Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo?
|
|
|
|
Bwana anatumia swali hili kuwaambia Waisraeli kuwa hatawaokoa na kifo. Lazima atawaadhibu.
|
|
|
|
# Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako?
|
|
|
|
Bwana anatumia swali kuwaambia kuwa atawaangamiza mda sio mrefu.
|
|
|
|
# Huruma itafichwa
|
|
|
|
Huruma imezungumzwa kama kitu.
|
|
|
|
# Huruma itafichwa na macho yangu.
|
|
|
|
"Sina huruma kwao"
|