sw_tn/hos/13/14.md

441 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo?

Bwana anatumia swali hili kuwaambia Waisraeli kuwa hatawaokoa na kifo. Lazima atawaadhibu.

Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako?

Bwana anatumia swali kuwaambia kuwa atawaangamiza mda sio mrefu.

Huruma itafichwa

Huruma imezungumzwa kama kitu.

Huruma itafichwa na macho yangu.

"Sina huruma kwao"