sw_tn/hos/13/01.md

685 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Efraimu alipozungumza

Hosea ametumia neno Efraimu kumaanisha ufalme mzima wa kaskazini, japokuwa lilikuwa jina la moja ya makabila kumi na mbili.

kulikuwa na tetemeko

"kulikuwa na tetemeko kati ya watu"

Alijikuza katika Israeli

"kujikuza" ni kujifanya wa muhimu.

lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa

Watu wa Efraimu walipoanza kuabudu Baali wakawa dhaifu na adui zao wakawashinda.

Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi.

Hawa ni watu wa kabila la Efraimu na taifa zima la Israeli.

Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama

Sehemu ya kuabudu sanamu ni kwa kuibusu sanamu ambayo ni sanamu ya ndama.