forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
449 B
Markdown
16 lines
449 B
Markdown
# Itakuwa kama Shalmani aliharibu Beth Arbeli siku ya vita
|
|
|
|
Vita inayokuja inafananishwa na vita ya zamani.
|
|
|
|
# Shalmani
|
|
|
|
Hili ni jina la mfalme aliyeangamiza mji wa Beth Arberi miaka ya 740 kabla ya Kristo.
|
|
|
|
# Beth Arberi
|
|
|
|
Hili ni jina la mji wa kabila la Naftali.
|
|
|
|
# Kwa hiyo itakuwa kwako, Betheli, kwa sababu ya uovu wako mkubwa
|
|
|
|
Hapa "Betheli" inawakilisha watu wanaoishi pale. Nabii aliwaambia watu wa Betheli kama vile walikuwa wakimsikiliza.
|