sw_tn/hos/10/14.md

449 B

Itakuwa kama Shalmani aliharibu Beth Arbeli siku ya vita

Vita inayokuja inafananishwa na vita ya zamani.

Shalmani

Hili ni jina la mfalme aliyeangamiza mji wa Beth Arberi miaka ya 740 kabla ya Kristo.

Beth Arberi

Hili ni jina la mji wa kabila la Naftali.

Kwa hiyo itakuwa kwako, Betheli, kwa sababu ya uovu wako mkubwa

Hapa "Betheli" inawakilisha watu wanaoishi pale. Nabii aliwaambia watu wa Betheli kama vile walikuwa wakimsikiliza.