sw_tn/hos/10/12.md

525 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

ifanyieni haki, vuneni matunda ya uaminifu wa agano

Haki na agano vimezungumzwa kama mazao ambayo yanapandwa na kuvunwa.

Chimbueni ardhi yenu isiyopandwa

Ardi isiyolimwa haipo tayari kwa kupandwa. Bwana anataka watu watubu ili waanze kufanya mambo yanayofaa.

Mmelima uovu; mmevuna udhalimu.

Uovu na udhalimu vimezungumzwa kama mazao ambayo yanapandwa na kuvunwa.

Mmekula matunda ya udanganyifu

Matokeo ya udanganyifu yanazungumzwa kama chakula ambacho kinaweza kulika.