sw_tn/hos/10/09.md

449 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

siku za Gibea

Hapa inaelezea matendo ya kushangaza ya kabila la Benyamini katika kitabu cha Waamuzi.

huko umebaki

Hii inamaanisha kuwa watu wa wakati huo waliendelea kufanya sawasawa na mababu zao walivyofanya huko Gibea.

Je, vita vitawapata wana wa uovu huko Gibea?

Bwana alitumia swali kusisitiza kuwa waliokuwa Gibea wakafanya uovu lazima vita vitawapata.

wana wa uovu

"wale wafanyao uovu"