sw_tn/hos/10/07.md

504 B

Mfalme wa Samaria ataangamizwa

"Waashuru watamwangamiza mfalme wa Samaria"

kama chipu cha kuni juu ya uso wa maji

Hii ina maana kuwa mfalme wa Samaria atakuwa hawezi kitu kama kipande kidpgo cha kuni kinachoelea juu ya maji"

Sehemu za juu za uovu zitaharibiwa

"Waashuru wataharibu sehemu za juu za Israeli ambazo watu walifanya uovu"

Watu wataiambia milima, "Tufunike sisi!" na kwa vilima, "Tuangukieni!"

"'watu watasema 'tunatamani milima itufunike!' na 'tunatamani vilima vituangukie!'"