sw_tn/hos/02/18.md

465 B

Sentensi unganishi:

Bwana anazungumza na Hosea kuhusu namna atakavyowafanyia Israeli.

Siku hiyo

Hii inazungumzia kuhusu urejesho wa baadae kati ya Israeli na Bwana.

Nitafanya agano kwao

Agano la Bwana litajumuisha amani kwa wanyama.

Nitaondoa upinde, upanga, na vita katika nchi, nami nitakufanya ulale kwa usalama.

Bwana atawaweka adui wa Israeli mbali na wao, hakutakuwa na vita tena watu watakuwa salama.

ulale kwa usalama

Kuishi kwa usalama.