sw_tn/hos/02/12.md

360 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza na Hosea juu ya kile atakachokifanya kwa Israeli.

Hii ni mishahara ambayo wapenzi wangu walinipa

"huu ndio mshahara ambao atapewa na wapenzi wake"

Nitawafanya kuwa msitu

Bwana ataangamiza mizabibu na miti yake ya matunda kwa kuruhusu miti mingine na magugu kukua pamoja.

tamko la Bwana

"ambalo Bwana anasema"