forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
298 B
Markdown
12 lines
298 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anazungumza na Hosea.
|
|
|
|
# nitamvua nguo machoni pa wapenzi wake
|
|
|
|
Hii inamaanisha Mungu atawaaibisha watu wa Israeli mbele ya mataifa mengine.
|
|
|
|
# hakuna mtu atakayemwokoa mkononi mwangu
|
|
|
|
Hakuna mtu atakayewasaidia Israeli. Hapa "mkono" inamaana ya nguvu ya Mungu kuhukumu.
|