sw_tn/hos/02/10.md

298 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza na Hosea.

nitamvua nguo machoni pa wapenzi wake

Hii inamaanisha Mungu atawaaibisha watu wa Israeli mbele ya mataifa mengine.

hakuna mtu atakayemwokoa mkononi mwangu

Hakuna mtu atakayewasaidia Israeli. Hapa "mkono" inamaana ya nguvu ya Mungu kuhukumu.