forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
334 B
Markdown
12 lines
334 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anazungumza na Hosea.
|
|
|
|
# Nitachukua sufu yangu na kitambaa kilichotumiwa kufunika uchi wake
|
|
|
|
Hii ina maana ya kwamba mavuno ya Israeli hayatakua. Bwana ataondoa baraka toka Israeli na watu wataachwa peke yao katika hatari.
|
|
|
|
# kilichotumiwa kufunika uchi wake
|
|
|
|
"kitu ambacho watu hutumia kujifunika wenyewe"
|