sw_tn/hos/02/08.md

334 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza na Hosea.

Nitachukua sufu yangu na kitambaa kilichotumiwa kufunika uchi wake

Hii ina maana ya kwamba mavuno ya Israeli hayatakua. Bwana ataondoa baraka toka Israeli na watu wataachwa peke yao katika hatari.

kilichotumiwa kufunika uchi wake

"kitu ambacho watu hutumia kujifunika wenyewe"