sw_tn/hos/02/06.md

483 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza na Hosea.

Kwa hiyo nitajenga ua wa kuzuia njia yake kwa miiba. Nitajenga ukuta dhidi yake ili asiweze kupata njia

Maneno haya yanaonesha kuwa Bwana atawazuia watu wake wasipate mafanikio kwa sababu wanaiabudu miungu.

Kisha atasema, "Nitarejea kwa mume wangu wa kwanza, kwa maana ilikuwa ni bora kwangu zamani kuliko sasa."

Israeli watarejea kwa Bwana sio kwa sababu ya upendo wao kwake lakini kwa sababu wameumizwa kwa kumwabudu Baali.