sw_tn/hos/02/04.md

582 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza na Hosea.

kwa maana wao ni watoto wa ukahaba.

Waisraeli wanafanya kama vile sio wa Bwana. Kama wazazi wao walivyofanya hawakumwabudu Mungu, na wao pia.

Maana mama yao amekuwa kahaba

Kizazi kilichopita waliitumikia miungu mingine na kuonekana kuwa ni makahaba kwa kuwa hawakuwa waaminifu kwa Mungu.

Nitawafuata wapenzi wangu, kwa maana wananipa mkate wangu na maji, sufu yangu na kitani, mafuta yangu na kinywaji.

Hapa "wapenzi wangu" inamaanisha Baali na miungu mingine ya uongo ambao Israeli walichagua kuiabudu badala ya Bwana.