sw_tn/hos/01/10.md

706 B

Taarifa ya jumla

Bwana anazungumza na Hosea.

kama mchanga wa bahari

Hii inasisitiza idadi kubwa ya Waisraeli.

ambayo haiwezi kupimwa au kuhesabiwa

"ambayo hamna hata mmoja anayeweza kupima au kuhesabu"

Itakuwa pale ambapo waliambiwa

"Ambapo Mungu aliwaambia"

pale ambapo waliambiwa

Yamkini maneno haya yanaelekezwa kwa Yezreeli, mji ambao makosa yalifanywa na wafalme wa Israeli na ambayo ilikuwa ishara ya adhabu ya Mungu juu yao.

Wataambiwa

"Mungu atawaambia"

watakusanyika pamoja

"Mungu atawakusanya pamoja"

watatoka kutoka nchi

Hii inamaanisha nchi ambayo watu wa Israeli walichukuliwa mateka.

siku ya Yezreeli

Mungu atawaweka watu wake nyuma katika nchi ya Israeli.