forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
706 B
Markdown
36 lines
706 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza na Hosea.
|
||
|
|
||
|
# kama mchanga wa bahari
|
||
|
|
||
|
Hii inasisitiza idadi kubwa ya Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# ambayo haiwezi kupimwa au kuhesabiwa
|
||
|
|
||
|
"ambayo hamna hata mmoja anayeweza kupima au kuhesabu"
|
||
|
|
||
|
# Itakuwa pale ambapo waliambiwa
|
||
|
|
||
|
"Ambapo Mungu aliwaambia"
|
||
|
|
||
|
# pale ambapo waliambiwa
|
||
|
|
||
|
Yamkini maneno haya yanaelekezwa kwa Yezreeli, mji ambao makosa yalifanywa na wafalme wa Israeli na ambayo ilikuwa ishara ya adhabu ya Mungu juu yao.
|
||
|
|
||
|
# Wataambiwa
|
||
|
|
||
|
"Mungu atawaambia"
|
||
|
|
||
|
# watakusanyika pamoja
|
||
|
|
||
|
"Mungu atawakusanya pamoja"
|
||
|
|
||
|
# watatoka kutoka nchi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha nchi ambayo watu wa Israeli walichukuliwa mateka.
|
||
|
|
||
|
# siku ya Yezreeli
|
||
|
|
||
|
Mungu atawaweka watu wake nyuma katika nchi ya Israeli.
|