forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
497 B
Markdown
20 lines
497 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Kuna ulinganifu kati ya dhabihu ya Yesu na dhabihu za hekalu ya Agano la Kale.
|
|
|
|
# Kwa hiyo
|
|
|
|
" Kwa njia hiyohiyo" au "Kwa sababu miili ya kujitoa iliunguzwa nje ya kambi"
|
|
|
|
# nje yalango la mji
|
|
|
|
"Nje ya mji."
|
|
|
|
# Kwa hiyo ngoja sasa twende
|
|
|
|
Kumtii Yesu kunaongelewa kana kwamba ni mtu alipaswa kuacha kambi kwenda nje Yesu alipo.
|
|
|
|
# kubeba aibu yake
|
|
|
|
kutokuwa na huruma kunaongelewa kana kwamba in chombo ambacho kinapaswa kubebwa katika mikono ya mtu au juu ya mgongo wa mtu.
|