forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
789 B
Markdown
32 lines
789 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Mwandishi anawaweka wazi hawa waumini wa Kiyahudi kwamba sheria na hema ya agano la kale vilikuwa ni picha ya agano bora na jipya.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Hii inaonyesha sehemu mpya ya fundisho.
|
|
|
|
# agano la kwanza
|
|
|
|
Tafsiri hii kama ulivyotafsiri sura ya 8:6
|
|
|
|
# ilikuwa na taratibu
|
|
|
|
"ilikuwa na maelekezo ya ndani" au "ilikuwa na miongozo"
|
|
|
|
# kwani
|
|
|
|
mwandishi anaendeleza mazungumzo kutoka sura ya 8:6
|
|
|
|
# hema ilitengenezwa
|
|
|
|
Hema ilijengwa na kuwa tayari kwa matumizi
|
|
|
|
# kinara cha taa, meza na mkate wa wonyesho
|
|
|
|
Vyombo hivi vyote vinafuatwa neno la linaloonyesha upekee wa vyombo. Kwa sababu mwandishi anadhani kwamba wasomaji wake tayari wanafahamu kuhusu vitu vyombo hivi.
|
|
|
|
# mkate wa wonyesho
|
|
|
|
mkate wa wonyesho mbele za Mungu au mkate ambao makuhani waliuwakilisha kwa Mungu.
|