sw_tn/heb/09/01.md

789 B

Sentensi Unganishi:

Mwandishi anawaweka wazi hawa waumini wa Kiyahudi kwamba sheria na hema ya agano la kale vilikuwa ni picha ya agano bora na jipya.

Sasa

Hii inaonyesha sehemu mpya ya fundisho.

agano la kwanza

Tafsiri hii kama ulivyotafsiri sura ya 8:6

ilikuwa na taratibu

"ilikuwa na maelekezo ya ndani" au "ilikuwa na miongozo"

kwani

mwandishi anaendeleza mazungumzo kutoka sura ya 8:6

hema ilitengenezwa

Hema ilijengwa na kuwa tayari kwa matumizi

kinara cha taa, meza na mkate wa wonyesho

Vyombo hivi vyote vinafuatwa neno la linaloonyesha upekee wa vyombo. Kwa sababu mwandishi anadhani kwamba wasomaji wake tayari wanafahamu kuhusu vitu vyombo hivi.

mkate wa wonyesho

mkate wa wonyesho mbele za Mungu au mkate ambao makuhani waliuwakilisha kwa Mungu.