forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
646 B
Markdown
20 lines
646 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Mwandishi anawahakikishia aumini hawa wa Kiyahudi kwamba Kristo na ukuhani ulio bora kwa sababu anaishi milele na makuhani wote waliotoka kwa Haruni walikufa.
|
|
|
|
# dhamana
|
|
|
|
"uhakika" au "ukweli"
|
|
|
|
# kwa hakika au kwa upande mwingine
|
|
|
|
maneno haya yametumika kulinganisha mambo mawili. Lungha yako inaweza kuwa na msisitizo kwamba mwandishi anafanya ulinganifu.
|
|
|
|
# kifo huuhuzuia kutodumu
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: '"mwishowe wanakufa na hawawezi kuendelea"
|
|
|
|
# ana ukuhani udumuo/ haubadiliki
|
|
|
|
kazi ya kikuhani inaongelewa kana kwamba ni chombo ambach Yesu alikimiliki. AT: "yeye ni kuhani asiye badilika"
|