sw_tn/heb/07/22.md

20 lines
646 B
Markdown

# Sentensi Unganishi:
Mwandishi anawahakikishia aumini hawa wa Kiyahudi kwamba Kristo na ukuhani ulio bora kwa sababu anaishi milele na makuhani wote waliotoka kwa Haruni walikufa.
# dhamana
"uhakika" au "ukweli"
# kwa hakika au kwa upande mwingine
maneno haya yametumika kulinganisha mambo mawili. Lungha yako inaweza kuwa na msisitizo kwamba mwandishi anafanya ulinganifu.
# kifo huuhuzuia kutodumu
Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: '"mwishowe wanakufa na hawawezi kuendelea"
# ana ukuhani udumuo/ haubadiliki
kazi ya kikuhani inaongelewa kana kwamba ni chombo ambach Yesu alikimiliki. AT: "yeye ni kuhani asiye badilika"