forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
707 B
Markdown
20 lines
707 B
Markdown
# Waebrania 04 Maelezo kwa jumla.
|
|
|
|
## Muundo na mpangilio
|
|
|
|
Sura hii inaelezea kwa nini Yesu ni Kuhani Mkuu kuliko wote
|
|
|
|
Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 4:3-4,7, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
|
|
|
|
## Dhana muhimu katika sura hii
|
|
|
|
### Mapumziko ya Mungu
|
|
|
|
Neno "mapumziko" linaonekana kuashiria vitu viwili katika sura hii. Inaashiria mahali ama wakati Mungu atawaruhusu watu wake kupumzika kutokana na kazi zao (Waebrania 4:3), ama inaashiria kupumzika kwa Mungu siku ya Saba (Waebrania 4:4).
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[Hebrews 04:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__
|