sw_tn/heb/04/intro.md

707 B

Waebrania 04 Maelezo kwa jumla.

Muundo na mpangilio

Sura hii inaelezea kwa nini Yesu ni Kuhani Mkuu kuliko wote

Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 4:3-4,7, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Mapumziko ya Mungu

Neno "mapumziko" linaonekana kuashiria vitu viwili katika sura hii. Inaashiria mahali ama wakati Mungu atawaruhusu watu wake kupumzika kutokana na kazi zao (Waebrania 4:3), ama inaashiria kupumzika kwa Mungu siku ya Saba (Waebrania 4:4).

<< | >>