sw_tn/heb/03/01.md

36 lines
1.2 KiB
Markdown

# Sentensi Unganishi:
Hili ni onyo la pili na ni refu na liko katika undani na linajumuisha sura ya 3 na 4. Mwandishi anaanza kwa kwa kuonyesha kwamba Kristo ni bora zaidi ya Musa mtumishi wake.
# ndugu watakatifu
Neno "ndugu" linamaanisha wakristo wenza, inajumuisha wanaume kwa wanawake. AT: "kaka na dada watakatifu" au "ndugu watakatifu wenzangu"
# mnashirika katika mwito wa mbinguni
"Mbinguni" hapa ina mwakilisha Mungu. AT: "Mungu ametuita pamoja"
# mtume
Neno hili linamaanisha mtu aliyetumwa. Katika kifungu hiki hakimaanishi mtume kati ya wale kumi na wawili. AT: "aliyetumwa"
# ya ukiri wetu
hii inaweza kusemwa ili kwamba nomino dhaniwa "kutubu" inelezea kama kitenzi "tubu." AT: "ambaye tunayemtubia" au "ambaye katika yeye tunaamini"
# katika nyumba ya Mungu
Waebrania ambao Mungu amejifunua kana kwamba ilikuwa ni nyumba halisi. AT: "kwa watu wote wa Mungu"
# Yesu amefinywa
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu amemfanya Yesu"
# yeye ajengaye kila kitu
Matendo ya Mungu ya uumbaji wa ulimwengu yanaongelewa kana kwamba amejenga nyumba.
# kila nyumba imejengwa na mtu
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. AT: "kila nyumba ina mtu aliyeijenga"