sw_tn/heb/03/01.md

1.2 KiB

Sentensi Unganishi:

Hili ni onyo la pili na ni refu na liko katika undani na linajumuisha sura ya 3 na 4. Mwandishi anaanza kwa kwa kuonyesha kwamba Kristo ni bora zaidi ya Musa mtumishi wake.

ndugu watakatifu

Neno "ndugu" linamaanisha wakristo wenza, inajumuisha wanaume kwa wanawake. AT: "kaka na dada watakatifu" au "ndugu watakatifu wenzangu"

mnashirika katika mwito wa mbinguni

"Mbinguni" hapa ina mwakilisha Mungu. AT: "Mungu ametuita pamoja"

mtume

Neno hili linamaanisha mtu aliyetumwa. Katika kifungu hiki hakimaanishi mtume kati ya wale kumi na wawili. AT: "aliyetumwa"

ya ukiri wetu

hii inaweza kusemwa ili kwamba nomino dhaniwa "kutubu" inelezea kama kitenzi "tubu." AT: "ambaye tunayemtubia" au "ambaye katika yeye tunaamini"

katika nyumba ya Mungu

Waebrania ambao Mungu amejifunua kana kwamba ilikuwa ni nyumba halisi. AT: "kwa watu wote wa Mungu"

Yesu amefinywa

Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu amemfanya Yesu"

yeye ajengaye kila kitu

Matendo ya Mungu ya uumbaji wa ulimwengu yanaongelewa kana kwamba amejenga nyumba.

kila nyumba imejengwa na mtu

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. AT: "kila nyumba ina mtu aliyeijenga"