forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.4 KiB
Markdown
44 lines
1.4 KiB
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Mwanadishi anawakumbusha hawa Webrania waumini kwamba Kristo alipokuaja duniania alifanyika mdogo kuliko malaika alipokuja dunia kuteseka kufa kwa ajili ya msamaha wa dhambi, na kwamba alifanyika kuhani mkuu mwenye huruma.
|
|
|
|
# tunamwona ambaye
|
|
|
|
"twafahamu kuwa kuna mwingine"
|
|
|
|
# aliyefanyika
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji.AT: "ambaye Mungu alimfanya'
|
|
|
|
# chini kuliko malaika...amevikwa utukufu na heshima
|
|
|
|
Tasifri hii kama ulitafsiri sura ya 2:7
|
|
|
|
# amevikwa
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimvika'
|
|
|
|
# amaeonja kifo
|
|
|
|
Uzoefu wa kifo unaongelewa kana kwamba kifo ni chakula kilichoonjwa.AT: "ameonja kifo" au "amekufa"
|
|
|
|
# kwa kuwa kila mtu
|
|
|
|
"Mtu" hapa linamaanisha watu wote. wakijumuishwa wanaume na wanawake. AT: "kwa kuwa kila mtu"
|
|
|
|
# awaleta wana wengi katika utukufu
|
|
|
|
Zawadi ya utukufu hapa inaongelewa kana kwamba ni sehemu ambayo watu wangeweza kuletwa. AT: "awaokoe wana wengi"
|
|
|
|
# wana wengi
|
|
|
|
Hapa wanamaanishwa waumini wote katika Kristo, ikijumuisha wanaume na wanawake.AT: "waumini wengi"
|
|
|
|
# kiongozi wa wokovu wao
|
|
|
|
Mwanadishi anaongea wokovu kana kwamba ni sehemu ambayo Yesu anawaongoza waumini kuelekea katika sehemu hiyo. Hii inamaanisha Yesu ni mtu ambaye alitenda kwanza ili awaokoe wengine. AT:"yeye anayewaokoa watu"
|
|
|
|
# mkamilifu/ timiza
|
|
|
|
kukua kiroho na kufundishwa kikamilifu kunaongelewa kana kwamba mtu alikuwa akifanywa mtimilifu, pengine mtimilifu katika viungo vya mwili wake.
|