sw_tn/hab/03/16.md

414 B

Taarifa kwa Ujumla:

Habakuki anafafanua hofu yake anapofikiri kuhusu Yahwe angewapa adhabu Wakaldayo.

ndani yangu kulitetemeka! midomo yangu ilitetema ... uozo huja kwenye mifupa yangu ... chini yangu mwenyewe natetemeka.

haya yanarejerea hofu iliyosababishwa na kufikiri kuhusu matukio yajayo. Habakuki anatumia baadhi ya sehemu za mwili wake kudhihirisha kwamba kila kiungo chake kinahofu.

oza

chakaa