sw_tn/hab/03/06.md

585 B

Taarifa kwa ujumla:

Habakuki anaendelea kufafanua maono yake ya Yahwe.

alipima dunia

Hii inaweza kumaanisha 1) yeye kaikagua kama ambavyo mwenye mamlaka angelifanya kabla hajagawa maeneo kwa watawala au 2) ameitikisa

milima ya milele ... vilima visivyo na mwisho

"milima ambayo imekuwepo tangu mwanzo wa wakati ... vilima ambavyo vitakuwapo mpaka mwisho wa wakati. kama lugha yako haina maneno tofauti kwa "vilima" na "vilima" au kwa "milele" na "usiomwisho" unaweza ukayaweka pamoja kama ilivyo kwenye ULB.

inama chini

katika kumwabudu Mungu. "walilala chini ya ardhi"