forked from WA-Catalog/sw_tn
585 B
585 B
Taarifa kwa ujumla:
Habakuki anaendelea kufafanua maono yake ya Yahwe.
alipima dunia
Hii inaweza kumaanisha 1) yeye kaikagua kama ambavyo mwenye mamlaka angelifanya kabla hajagawa maeneo kwa watawala au 2) ameitikisa
milima ya milele ... vilima visivyo na mwisho
"milima ambayo imekuwepo tangu mwanzo wa wakati ... vilima ambavyo vitakuwapo mpaka mwisho wa wakati. kama lugha yako haina maneno tofauti kwa "vilima" na "vilima" au kwa "milele" na "usiomwisho" unaweza ukayaweka pamoja kama ilivyo kwenye ULB.
inama chini
katika kumwabudu Mungu. "walilala chini ya ardhi"