sw_tn/hab/02/12.md

1.0 KiB

Taarifa kwa Ujumla

Yahwe anaendelea kumjibu Habakuki. Ingwa anarejerea kwao Wakaldayo kama kwa mtu mmoja.

Ole kwa yule ambaye anajenga jiji kwa damu, na ambaye anaimarisha mji katika uovu

Kauli hizi mbili zinasema kitu kile kile katika njia mbili tofauti. Tafsiri zinazoingiliana: "Onyo kwa Wakaldayo ambao wanajenga miji yao kwa vile walivyoiba kutoka kwa watu ambao wamewaua"

pamoja na damu

kwa kuua watu. Tafsiri inayopokezana: "yule anayeua watu na kuiba mali zao ili kwamba ajenge mji."

Anayeanzisha mji katika uovu

"Yule anayeanza mji kupitia tabia mbovu." Wakaldayo wanajenga miji yao wakitumia mali zilizoibwa kutoka kwa watu waliowaua.

Hii haikutoka kwa Yahwe wa majeshi kwamba watu wafanye kazi kwa moto na mataifa yote mengine yachoke bila kitu?

Mungu amesababisha uharibifu wa kile watu walichojenga. Ilisemwa katika njia mbili tofauti ili kufanya iwe wazi zaidi. Tafsiri inayobadilishana: "Yahwe ndiye yule anayesababisha watu wanaofanya kazi ngumu ya kujenga kuharibiwa kwa moto na matokeo ni hakuna."