forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
574 B
Markdown
24 lines
574 B
Markdown
# Taarifa kwa Ujumla:
|
|
|
|
Habakuki anaendelea kuongea kwa Yahwe kuhusu Wakaldayo.
|
|
|
|
# ndowano ya samaki ... wavu wa samaki
|
|
|
|
vifaa vilitumika kuvua samaki
|
|
|
|
# wavu
|
|
|
|
"kifaa kilitumika kuvulia "vitu vitaambaavyo"
|
|
|
|
# Wanyama walionona ni sehemu yao, na nyama nene ni chakula chao
|
|
|
|
badilishana tafsiri: "wanyama wazuri sana na nyama nzuri sana ni fungu la chakula chao"
|
|
|
|
# fungu
|
|
|
|
sehemu ndogo ya kitu fulani kikubwa ambacho kinatumika kati ya watu wengi
|
|
|
|
# wanamaliza nyavu zao za kuvulia
|
|
|
|
wavuvi wanawamaliza samaki kwenye nyavu ili kwamba wazitupe tena na wavue samaki wengi zaidi.
|