forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
408 B
Markdown
16 lines
408 B
Markdown
# Taarifa kwa Ujumla:
|
|
|
|
Habakuki anaendelea kuongea kwa Yahwe kuhusu Wakaldayo.
|
|
|
|
# Wao ambao wanasaliti
|
|
|
|
"Wakaldayo, ambao hakuna mmoja atakayewaamini"
|
|
|
|
# meza
|
|
|
|
"haribu"
|
|
|
|
# kama samaki baharini ... kama vitu vitaambaavyo
|
|
|
|
Hizi kauli mbili zinadhihirisha wazo lilelile kwamba Mungu ameruhusu Wakaldayo kuwashughulikia Israeli kama viumbe wenye thamani ndogo sana, na si kama watu wanavyotakiwa kushughulikiwa.
|