sw_tn/hab/01/13.md

408 B

Taarifa kwa Ujumla:

Habakuki anaendelea kuongea kwa Yahwe kuhusu Wakaldayo.

Wao ambao wanasaliti

"Wakaldayo, ambao hakuna mmoja atakayewaamini"

meza

"haribu"

kama samaki baharini ... kama vitu vitaambaavyo

Hizi kauli mbili zinadhihirisha wazo lilelile kwamba Mungu ameruhusu Wakaldayo kuwashughulikia Israeli kama viumbe wenye thamani ndogo sana, na si kama watu wanavyotakiwa kushughulikiwa.