forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
443 B
Markdown
16 lines
443 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla:
|
|
|
|
Habakuki anaendeleza maombi yake kwa Mungu.
|
|
|
|
# ugomvi unainuka
|
|
|
|
"mapigano kati ya watu yanakuwa kawaida zaidi"
|
|
|
|
# Uovu unawazunguka wenye haki
|
|
|
|
Hii inaweza kuwa na maana kwamba watu wenye haki wanateseka si kwa halali 1) "waovu wananguvu zaidi kuliko watu wenye haki" au 2)"kuna watu waovu zaidi kuliko watu wenye haki."
|
|
|
|
# uadilifu wa uongo unaenea
|
|
|
|
NI: "uovu unatokea badala ya uadilifu" au "kukosa haki kunaongezeka"
|