sw_tn/hab/01/03.md

443 B

Taarifa kwa ujumla:

Habakuki anaendeleza maombi yake kwa Mungu.

ugomvi unainuka

"mapigano kati ya watu yanakuwa kawaida zaidi"

Uovu unawazunguka wenye haki

Hii inaweza kuwa na maana kwamba watu wenye haki wanateseka si kwa halali 1) "waovu wananguvu zaidi kuliko watu wenye haki" au 2)"kuna watu waovu zaidi kuliko watu wenye haki."

uadilifu wa uongo unaenea

NI: "uovu unatokea badala ya uadilifu" au "kukosa haki kunaongezeka"