forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
340 B
Markdown
16 lines
340 B
Markdown
# miaka mia moja na kumi
|
|
|
|
"miaka 110"
|
|
|
|
# Efraimu hata kizazi cha tatu
|
|
|
|
"Watoto na wajukuu wa Efraimu"
|
|
|
|
# Makiri
|
|
|
|
Hili ni jina la mjukuu wa Yusufu"
|
|
|
|
# waliowekwa katika magoti ya Yusufu
|
|
|
|
Msemo huu una maana ya kwamba Yusufu alitwaa watoto hawa wa Makiri kama watoto wake. Hii ina maana wangekuwa na haki ya urithi maalumu kutoka kwa Yusufu.
|