sw_tn/gen/50/12.md

534 B

wanawe

"Kwa hiyo wana wa Yakobo"

kama alivyokuwa amewaagiza

"kama alivyokuwa amewaagiza"

Wanawe wakambeba

"Wanawe waliuchukua mwili wake"

Makpela

Makpela ni jina la jina la eneo au sehemu.

Mamre

Hili lilikuwa jina jingine la mji wa Hebroni. Inawezekana lilikuwa jina baada ya Mamre, rafiki wa Abrahamu aliyeishi kule.

Efroni Mhiti

Hili ni jina la mwanamume. "Mhiti" ina maana ya "uzao wa Hethi"

Yusufu akarudi Misri

"Yusufu alirudi Misri"

wote waliokuwa wamemsindikiza

"wale wote waliokuja pamoja nami"