forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
534 B
Markdown
32 lines
534 B
Markdown
|
# wanawe
|
||
|
|
||
|
"Kwa hiyo wana wa Yakobo"
|
||
|
|
||
|
# kama alivyokuwa amewaagiza
|
||
|
|
||
|
"kama alivyokuwa amewaagiza"
|
||
|
|
||
|
# Wanawe wakambeba
|
||
|
|
||
|
"Wanawe waliuchukua mwili wake"
|
||
|
|
||
|
# Makpela
|
||
|
|
||
|
Makpela ni jina la jina la eneo au sehemu.
|
||
|
|
||
|
# Mamre
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa jina jingine la mji wa Hebroni. Inawezekana lilikuwa jina baada ya Mamre, rafiki wa Abrahamu aliyeishi kule.
|
||
|
|
||
|
# Efroni Mhiti
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamume. "Mhiti" ina maana ya "uzao wa Hethi"
|
||
|
|
||
|
# Yusufu akarudi Misri
|
||
|
|
||
|
"Yusufu alirudi Misri"
|
||
|
|
||
|
# wote waliokuwa wamemsindikiza
|
||
|
|
||
|
"wale wote waliokuja pamoja nami"
|