forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
825 B
Markdown
32 lines
825 B
Markdown
# Yusufu akaenda juu
|
|
|
|
Ilikuwa kawaida kutumia msemo "kwenda juu" inapozungumziwa safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani.
|
|
|
|
# Maofisa wote ... washauri ... maofisa waandamizi
|
|
|
|
viongozi wote muhimu wa Farao walihudhuria tukio la mazishi.
|
|
|
|
# washauri
|
|
|
|
Huyu mtu alikuwa mshauri wa kifalme.
|
|
|
|
# washauri wa nyumba yake
|
|
|
|
Hapa "nyumba" ina maana ya baraza la kifalme la Farao.
|
|
|
|
# nchi ya Misri, pamoja na nyumba yote ya Yusufu na ndugu zake, na nyumba yote ya baba yake
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "nchi ya Misri. Nyumba ya Yusufu, ndugu zake, na nyumba ya baba yake walikwenda naye"
|
|
|
|
# nyumba ya Yusufu ... nyumba ya baba yake
|
|
|
|
Hapa "nyumba" ina maana ya familia zao.
|
|
|
|
# Vibandawazi
|
|
|
|
Hapa ina maana ya wanamume wanaoendesha ndani ya vibandawazi.
|
|
|
|
# Lilikuwa kundi kubwa sana la watu
|
|
|
|
"ulikuwa mkusanyiko mkubwa sana"
|